Powered By Blogger

About Me

My photo
moshi and iringa, kilimanjaro, iringa, Tanzania
A cool Tanzanian boy with appreciation, assistance and cooperation with every body for betterment.

Friday 19 August 2011

experience tanzania: UMEME SASA NI ISHU

experience tanzania: UMEME SASA NI ISHU: Hali ya umeme nchini imeendelea kuwa tete. Hii inatikana na kutoka kwenye mgao hadi UKOSEFU. Katika hali ambayo si ya kawaida baadhi ya mik...

UMEME SASA NI ISHU

Hali ya umeme nchini imeendelea kuwa tete. Hii inatikana na kutoka kwenye mgao hadi UKOSEFU.
 Katika hali ambayo si ya kawaida baadhi ya mikoa imekosa kabisa nishati hiyo kwa takribani siku 3 hadi 4.Mikoa hiyo ni pamoja na Mwanza, Mbeya na Arusha ambayo wananchi wake wanalizimika kulala njaa na wengine kwenye mashine za kusagisha mahindi ili waweze kupata huduma. Imeelezwa kwamba mkoa wa 
Mwanza uilipata megewatt 4 na mbeya ilipata megawatt 7 kati ya 30 zinazohitajika. Hii ndio0 TANZANIA.............

Monday 15 August 2011

MAFUTA BEI JUU

Bei ya Mafuta yarejea tena juu
 Hii ni baada ya mamlaka ya udhibiti wa mafuta na nishati Tanzania EWURA Kuongeza bei ya mafuta siku chache tu walipoishusha bei hiyu hali iliyosababisha mgomo wa wamiliki wa vituo vya mafuta. mamlaka hiyo imesema sababu ni kuongezeka kwa bei katika soko la mafuta na kushuka kwa thamani ya sarafu ya Tanzania. hata hivyo kutokana na kero iliyojottokeza watu walionekana kukubaliana na bei hiyo ili tu waondokane na adha ya mafuta

Sunday 17 July 2011

experience tanzania: EXPLORE TANZANIA

experience tanzania: EXPLORE TANZANIA: "EXPLORE TANZANIA Tanzania is a blesssed nation with a variety of natural and cultural attraction ever seen. These include natural and cultu..."

EXPLORE TANZANIA

EXPLORE TANZANIA
Tanzania is a blesssed nation with a variety of natural and cultural attraction ever seen. These include natural and cultural destinations which includes national parks, game reserves, cultural places, conservation areas, game controlled areas. If you are interested to see the wonders of the world you donn have a reason not to visit tanzania. Here you can see flora and fauna like animals, birds, flowers, landscape, sea scape, cultural practices and many more.
110.000 Hotels and accommodation
12.000 Attractions, landmarks, museums, neighborhoods
30.000 Nightlife, cinemas and restaurants

a tallest mountain in africa "KILIMANJARO" also a
bility to see animals at kilimanjaro national park


              a map showing Tanzanias destinations
                  national parks and game reserves
 

Some of the
fascinating places
in tanzania include:
               
                 
                           witness this at serengeti national park where migration occurs from serengeti to maasai mara national park in Kenya

 




Wednesday 6 July 2011

YANGA YAIFUATA SIMBA NUSU FAINALI

YANGA YAIFUATA SIMBA NUSU FAINALI
Timu ya Tanzania bara Dar es salaam Young Africans imeifuata na kuwa timu ya pili kwa Tanzania kuingia nusu fainali ya kagame castle cup. Simba iliingia nusu fainali baada ya kuifunga bunabwaya magoli mawili kwa moja nayo yanga imeingia nusu fainali kwa mbinde baada ya kutoka sare ya bila kufungana na red sea hai iliyolazimu mshindi apatikane kwa matuta. Yanga ilishinda kwa idadi ya penati 6 dhidi ya 5 za red sea. Licha ya ushindi hou zengwe lilitawal;a baada ya mwamuzi kurudia penati 2 ambapo moja kati ya hizo ilikuwa ni golkeeper kutoka golini kabla ya penati kupigwa ila utata ulizuka kwenye penati ya pili ambayo iligonga mwamba na mwamuzi kuamuru irudiwe bila sababu iliyoeleweka hali iliyozua tafrani uwanjani hapo. Hivyo hadi mwiso YANGA 6 REDSEA 5.

Monday 20 June 2011

SIMBA NJE

Timu ya Tanzania Simba sports club almaarufu kama wekundu wa msimbazi jana walitupwa nje na timu kutoka jamhuri ya kidemokrasia ya Kongo, mote mapembe mara baada ya kuchapwa magolil amwili kwa bila. Simba imetupwa nje mara baada ya nechi ya kwanza kuchomoza na ushindi wa goli moja lililofunwa na Musa hassan mgosi na hiyo jana kukubali kichapo cha magoli maili bila majibu hivyo kufanya idadi ya magoli kuwa mawili kwa moja

Saturday 18 June 2011

TUSKER PROJECT FAME THIS SEASON

peter msechu in action
Tusker project fame iko mbioni kuanza ambapo Tanzania itawakilishwa na wasanii wawili ambao ni mshiriki wa season iliyopita na mshindi wa pili katika tusker prject Peter Msechu.
Mwingine ni Hemed. wish them all the best

Friday 17 June 2011

SIMBA KIBARUANI TENA WEEKEND HII
Timu ya simba inatajia kucheza mchezo wa marudiano dhidi ya timu kutoka jamhuri ya kidemokrasia ya kongo mote mapembe. simba itashuka dimbani huku ikiwa na kumbukumbu ya ushindi wa goli moja lililofiungwa na musa hassan mgosi simba ilipocheza jijini dar es salaam. Ili Simba iweze kusonga mbele inahitaji sare au ushindi

Thursday 16 June 2011

ROMA AACHIA SINGLE MPYA
Mwanamuziki wa hip hop ROMA ameachia single mpya. Single hiyo kwa sasa haina jina na amewataka mafans wake kuipa jina. Single hiyo tayari imekwisha anza kuchezwa kwene baadhi ya radio. Hta hivyo ROMA anatarajiwa kudondoka pande za Iringa jmosi hii. Wasanii wengine walioachia track hivi karibuni ni pamoja na Bob junior, Spark, na Berry white.