Powered By Blogger

About Me

My photo
moshi and iringa, kilimanjaro, iringa, Tanzania
A cool Tanzanian boy with appreciation, assistance and cooperation with every body for betterment.

Monday 15 August 2011

MAFUTA BEI JUU

Bei ya Mafuta yarejea tena juu
 Hii ni baada ya mamlaka ya udhibiti wa mafuta na nishati Tanzania EWURA Kuongeza bei ya mafuta siku chache tu walipoishusha bei hiyu hali iliyosababisha mgomo wa wamiliki wa vituo vya mafuta. mamlaka hiyo imesema sababu ni kuongezeka kwa bei katika soko la mafuta na kushuka kwa thamani ya sarafu ya Tanzania. hata hivyo kutokana na kero iliyojottokeza watu walionekana kukubaliana na bei hiyo ili tu waondokane na adha ya mafuta

No comments:

Post a Comment