Powered By Blogger

About Me

My photo
moshi and iringa, kilimanjaro, iringa, Tanzania
A cool Tanzanian boy with appreciation, assistance and cooperation with every body for betterment.

Monday 20 June 2011

SIMBA NJE

Timu ya Tanzania Simba sports club almaarufu kama wekundu wa msimbazi jana walitupwa nje na timu kutoka jamhuri ya kidemokrasia ya Kongo, mote mapembe mara baada ya kuchapwa magolil amwili kwa bila. Simba imetupwa nje mara baada ya nechi ya kwanza kuchomoza na ushindi wa goli moja lililofunwa na Musa hassan mgosi na hiyo jana kukubali kichapo cha magoli maili bila majibu hivyo kufanya idadi ya magoli kuwa mawili kwa moja

No comments:

Post a Comment