Powered By Blogger

About Me

My photo
moshi and iringa, kilimanjaro, iringa, Tanzania
A cool Tanzanian boy with appreciation, assistance and cooperation with every body for betterment.

Friday 19 August 2011

UMEME SASA NI ISHU

Hali ya umeme nchini imeendelea kuwa tete. Hii inatikana na kutoka kwenye mgao hadi UKOSEFU.
 Katika hali ambayo si ya kawaida baadhi ya mikoa imekosa kabisa nishati hiyo kwa takribani siku 3 hadi 4.Mikoa hiyo ni pamoja na Mwanza, Mbeya na Arusha ambayo wananchi wake wanalizimika kulala njaa na wengine kwenye mashine za kusagisha mahindi ili waweze kupata huduma. Imeelezwa kwamba mkoa wa 
Mwanza uilipata megewatt 4 na mbeya ilipata megawatt 7 kati ya 30 zinazohitajika. Hii ndio0 TANZANIA.............

No comments:

Post a Comment